Album Cover Anapiga Pic

Anapiga Pic

YBW Smith

6

Yoh cheki

Ei ei

Tano nane

Skia

Ei

Ei

Ei

Anapiga pic ndani ya nyumba na bado ananimaliza

Tukiskiza reggae ikitubeba tukiwa matire

Jo dance kwa hii tune nikiroga beat

So manze hepa si watu wanabreak up

Anapiga pic ndani ya nyumba na bado ananimaliza

Tukiskiza reggae ikitubeba tukiwa matire

Jo dance kwa hii tune nikiroga beat

So manze hepa si watu wanabreak up

Yoh manze hepa si watu wanabreak up

Kuna watu wawili wawili wanachezwa

Na bro ni mara ngapi unamwita ukilengwa

Na kama hujai notice fathela alimteka

Siku hizi kwela wako ni kulalia tu pesa

Mabuda wa vitambi ju ya prado si Impreza

Na nguna akiwa maji anatekwa bila pressure

Form zake za kulewa Zi hupandisha temper

Sare stori mingi tulikutana December

Ukimuona ako na daro, we jua kuna mambo

Kitu one time, ka ni biz akule vako

Backdoor tuko jamdown ni kulight up

Mi nadai short fine ass na mabundles

Baby calm down bado una whine

Kuzidisha morio wake fine ye ni lightskin

Yaani dem kitu safi

Huwezi fikiria mara mbili ulale ndani

Napatana na Wendy anapanga ju ya wikendi

Anadai aende club ashikishe hizo vibeti

Vibeti za masponyo akitingisha kiuno

Anadai ashike ball ndo apelekwe mpaka Europe

Stori za uongo

Ju sponyo ni wa kiyolo

Anadunga hadi magoro

Na kwela ni mamboto

Achachishe kwa mamorio

Ifikie hadi mokoro

Na doba zangu genje kuteka mtoto wa Sonko

Mtoto ni kisonko

Anapiga pic ndani ya nyumba

Na bado ananimaliza

Tukiskiza reggea ikitubeba

Tukiwa matire jo

Dance kwa hii tune

Nikiroga big song

Manze hepa si watu wanabreak up

Anapiga pic ndani ya nyumba

Na bado ananimaliza

Tukiskiza reggea ikitubeba

Tukiwa matire jo

Dance kwa hii tune

Nikiroga big song

Manze hepa si watu wanabreak up

Yoh manze hepa si watu wanabreak up

Ah cheki mamaz naskia tifi

Umekuwa nditni zishike ukose usingizi

BuruBuru niko ngwethelize na wazingting

Mratish na mangeus jo ni party jo

On a Monday nipate jaba na mashash

Twende Tuesday nipate na ule matha tukidance

Fika Wednesday nikiroll tu mashash

Thursday nipate party

Na Friday kazoze

Si uongo tulipataa soko

Anakam juu ya mangoto

Anadai ye ni poko

Na bado siamini amekuja na mawhiskey

Anadai twende missing

Twende Eastleigh Mzee Ali cash money

Nipate na kimali umedungia mali safi

Na ghetto ka ni bani unabakishwa na shati

Namba nane, nipate baze tano nane

12′Oclock juu ya sana

Anapiga pic ndani ya nyumba

Na bado ananimaliza

Tukiskiza reggea ikitubeba

Tukiwa matire jo

Dance kwa hii tune

Nikiroga beat

So manze hepa si watu wanabreak up

Anapiga pic ndani ya nyumba

Na bado ananimaliza

Tukiskiza reggea ikitubeba

Tukiwa matire jo

Dance kwa hii tune

Nikiroga beat

So manze hepa si watu wanabreak up