Album Cover I Love You

I Love You

Rayvanny

6

Ilikuwa safari ndefu yenye mateso

Machozi, mizigo, vikwazo

Ila yote umenitua

Naomba penzi letu lisife kesho

Ukanipa presha, mawazo

Chonde mama utaniua

Na vile hujui kununa, fundi wa kudeka

Hata sijakutekenya unacheka

Ooh, tambua ushaniteka

Hata bila chakula nanenepa, my love

Salama nikiwa na wewe

Hata kama nina shida nasahau

Sura kama malaika

Na wala hauringi kwa dharau

Lawama acha nipewe

Nitoke duniani angalau

Kuliko ukanyanyasika

Hilo mpenzi usahau

Me oh, oh, oh (ah eh)

Mi amor (ah eh)

My love (ah eh)

Te amo (ah eh)

I love you

I love you

Baby, I love you

I love you

I love you (minakupenda sana)

I love you (usiniache mama)

Baby, I love you (me oh)

I love you

Sura ya mama, umbo lawama

Una ya bia miguu

Unanichanganya ukiinama naangalia tattoo

Nipakulie chakula mama sikomi

Asubuhi, mchana mpaka jioni

Michezo unaijua mama msomi

Pini kitovu, kifua na sikioni

Salama nikiwa na wewe

Hata kama nina shida nasahau

Sura kama malaika

Na wala hauringi kwa dharau

Lawama acha nipewe

Nitoke duniani angalau

Kuliko ukanyanyasika

Hilo mpenzi usahau

Me oh, oh, oh (ah eh)

Mi amor (ah eh)

My love (ah eh)

Te amo (ah eh)

I love you

I love you

Baby, I love you

I love you

I love you

I love you

Baby, I love you

I love you