Album Cover Forever

Forever

Rayvanny

5

Forever, forever

Forever, forever

Forever, forever (MLAM on the beat)Forever, forever (SoundBoy)

Nilianza kusikia sauti yako, kabla sijaona sura

Ikafanya nikageuka (ikafanya nikageuka)

Macho yangu yakakutana na yako, oh mashallah

Nikahisi malaika ameshuka

Maana rangi, macho, umbo lako

Likanivuta kwako, tuongee

Nikakuuliza jina lako, namba yako

Nd′o ulikuwa mwanzo wa mi' na wewe, uh baby

′Menifungulia dunia ya mapenzi

Nimesahau mateso

Nakufungulia dunia ya kukuenzi

We' ni wangu leo na kesho, eh-eh

Nakupenda, sikuachi

We' ni wangu, I promise

Nakutaka, kando yangu

Sikuachi, I promise

Mi′ na wewe

Forever, forever, forever me and you

Me and you forever, baby

Forever, forever (milele), forever, mi′ na we

Nitazikwa nawe

Mtoto mbichi, teketeke aki' mama umelainika

Umeumbika, acha nikumwagie sifa

Waruke sarakasi na mateke, uzuri wako hawatofika (hawatofika)

Mama umejazisha, mikate yakumiminisha

Baby waonyeshe cheko (cheko)

Wape mideko (deko)

We′ mzuri, filter na make-up waachie wao

Na unawapa mateso (teso)

Watajifunika leso

Waonyeshe kiburi wajue wewe ndio mama lao, aya-iya

'Menifungulia dunia ya mapenzi

Nimesahau mateso (mateso)

Nakufungulia dunia ya kukuenzi

We′ ni wangu leo na kesho, eh-eh

Nakupenda, sikuachi

We' ni wangu, I promise

Nakutaka, kando yangu

Sikuachi, I promise

Mi′ na wewe

Forever, forever, forever, me and you

Me and you forever, baby

Forever, forever (milele), forever, mi' na we

Nitazikwa nawe

(Kamix-Lizer)