Album Cover Yatapita

Yatapita

Diamond Platnumz

4

Yatapita yana mwisho

Ipo siku tutayasahau

Watatuheshimu walio tudharauKaza moyo, nivumilie

Amini tutayasahau

Watatuheshimu walio tudharau (Wote)

Na ntakununulia (Vyote)

Mawigi na simu (Vyote)

Ntakuzawadia (Vyote)

Pochi zenye thamani (Vyote)

Nawe uende waringishia (Vyote)

Utembee kwa uskani (Vyote)

Na vioo ukiwafungia (Vyote)

Aloiumba leo ni mungu na ndio ataiumba kesho

Amini fungu letu laja haliko mbali

Alisema mtazaa kwa uchungu, tutatafuta kwa mateso

Baby mitihani kawaida usijali, mnh!

Kidogo nnachokuletea usinune pokea

Nipate moyo nifariji

Na juhudi naziongezea usichoke niombea

Molah atubariki zaidi

Mungu kakupa sura kakupa shepu

Nyuma chura mambo yetu

Mwana wa sanura, mwenzako mimi I love you

Umeniteka medula niko fyetu

Akili haina ndala iko peku

Umenivurura, mwenzako mimi I love you

Ooh nivumilie

Yatapita yana mwisho

Ipo siku tutayasahau

Watatuheshimu walio tudharau

Kaza moyo, nivumilie

Amini tutayasahau

Watatuheshimu walio tudharau (Wote)

Na ntakununulia (Vyote)

Mikufu na simu (Vyote)

Ntakuzawadia (Vyote)

Pochi zenye thamani (Vyote)

Nawe uende waringishia (Vyote)

Utembee kwa uskani (Vyote)

Na vioo ukiwafungia (Vyote)

Ooh Baby

Tazama Nyota na Mbalamwezi zatutazama

Liliwaka jua zikafanya subira mnh! nhh!

Na nnapokosa niambie mupenzi sio kuzozana

Nyumba haijengwi kwa vita hasira

Kwenye macho yako nikiyatazama

Naiona huruma yako mama

Changamoto maana kuna muda unakata tamaa

Nanoa kisu hatuli nyama

Na kodi lundo zatuandama

Riziki zama kwa zama

Ya kwetu kesho ya kwao ni jana

Kidogo nnachokuletea usinune pokea

Nipate moyo nifariji mnh!

Na juhudi naziongezea usichoke niombea

Molah atubariki zaidi

Yatapita kipenzi changu

Yatapita yana mwisho

Ipo siku tutayasahau

Watatuheshimu walio tudharau

Kaza moyo, nivumilie

Amini tutayasahau

Watatuheshimu walio tudharau (Wote)

Na ntakununulia (Vyote)

Mawigi na simu (Vyote)

Ntakuzawadia (Vyote)

Pochi zenye thamani (Vyote)

Na wewe uende waringishia (Vyote)

Utembee kwa uskani (Vyote)

Na vioo ukiwafungia (Vyote)

Mungu kakupa sura kakupa shepu

Nyuma chura mambo yetu

Mwana wa sanura

Mwenzako mimi I love you