Album Cover Utanipenda

Utanipenda

Diamond Platnumz

4

Tanta lala la

Ooh la la la la la

Mmh

Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale

Nimeshindwa kulipa bima nimeuza Madale

Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree

Umeneja umebaki jina

Hanitaki hata Tale

Oooh wale shabiki zangu

Walionisifu kwa maneno matamu

Leo maadui zangu

Ni mitusi tu kwa instagram

Kimwanaa si dada angu

Eti nae hanifahamu

Hata Harmonize nikimpigia

Ananifokea kama Sallam

Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuagaa

Utasikia Tafalani eti Mondi kwa Zari amemwagwa

Navyo nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinagaa

Kama naiona michambo ya madem wa zamani nlio wapitiaga

Ooh nayosema yana maana

Sababu hakuna anaejua kesho

Anaepanga ni Rabana

Ila ameificha ni confidential

Ukisali omba sanaa

Mumeo nisije kuwa kichekesho

Maana rafiki wa jana

Aaah

Ndio adui mkubwa wa kesho

La la la la la la

Au je utanipenda gaa?

Aa La la la la la

Au nawe utanimwagaa?

Aa La la la la la

Ati utanipenda gaa ooh

Aa la la la la la

Oh

Bado naiwaza sana

Vile tunzo mashauzi airport

Je itapofika tamati

Utadiriki hata japo kunipost

Pindi show zimekwamaa

Na nikipata sijahis ni mikosi

Oooh jahazi limezama

Mola ninusulu baba

Kama namuona mwanangu

Roho yangu

Tiffa Dangote

Anakwenda na mamaangu

Kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke

Usilie Sandra wangu

Mboni yangu

Jikaze usichoke

Huenda kesho zamu yangu

Nitavuma tena mambo yanyooke

Ey

Na magazeti ya nyumbani

Kwa kukuza habari si unajuagaa

Utasikia tafalani eti Mondi kwa Zari amemwaga (Oh yeh yeh yeh)

Navyo nilivyo mnyonge

Tabia ya kuwajibu sinaga

Kama naiona michambo ya madem wa zamani

Yani He he he

La la la la la (eh)

(Ola lala la lala)

La la la la la

(Ooh ola la la la)

La la la la la ala

Eeeh

Ola la la lilaa ooh

I say

Kama namuona mwanangu

Roho yangu

Tiffa dangote

Ana kwenda na mama angu

Kwa mkubwa Fella anafukuzwa watoke

Usilie sandra wangu

Mboni yangu

Jikaze usichoke

Huenda kesho zamu yangu

Nitavuma tena

Mambo yanyooke(he he heee)

Nayosema yana maana

Sababu hakuna anaejua kesho

Anaepanga ni Rabana

Ila ameificha ni confidential

Ukisali omba sana

Mumeo nisije kuwa kichekesho

Maana rafiki wa jana

Ndio adui mkubwa wa kesho